Na Mwandishi Wetu.
January 3,2025, Mtandao namba moja nchini kwa utoaji wa Huduma za Kidigitali YAS - Tanzania, wameufungua mwaka kwa kukabidhi zawadi mbalimbali kwa washindi wa Kampeni ya “Magift ya kugift” kwenye DROO 8, Ikumbukwe katika Kampeni hii zawadi zinazotolewa ni Garu 2 MPYA , Pesa Milioni 1 - 50 na simu Janja Sita kila siku.

Mgendi amesema mpaka sasa wameshatoa zawadi za fedha zenye thamani ya kiasi cha TSh milion 244, kwa washindi wa makundi tofauti ikiwemo,mawakala,na wateja wengine.


Hii ni wiki ya Saba mfulululizo kati kati ya wiki 12 ambazo Yas kupitia msimu huu wa siku kuu, ikishirikiana na kitengo cha Mixx by Yas, imeendelea kutoa zawadi Zaidi kupitia kampeni Yao ya "Magift ya kugift" kwa wateja wao kwa mwaka huu wa 2025.
0 Comments