Ticker

6/recent/ticker-posts

WAZIRI MKUU AWASILI NCHINI MAREKANI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania Mjini New York, nchini Marekani na Mwakilishi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Hussein Othman Katanga alipowasili nchini humo kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79) leo Septemba 20, 2024.

Post a Comment

0 Comments