Ticker

6/recent/ticker-posts

MKUTANO WA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MAFANIKIO YA ZIARA YA RAIS SAMIA ALIYOFANYA NCHINI MOROCCO NA SAUDI ARABIA

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus akizungumza na kuwaelezea Waandishi wa Habari kuhusu Mafanikio ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aliyofanya nchini Morocco na Saudi Arabia. Mkutano huo na Waandishi wa Habari umefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Novemba, 2023.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akizungumza kwenye Mkutano wa Waandishi wa Habari kuhusu Mafanikio ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aliyofanya nchini Morocco na Saudi Arabia. Mkutano huo umefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Novemba, 2023.

Viongozi mbalimbali waliohudhuria Mkutano huo na Waandishi wa Habari kuhusu Mafanikio ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aliyofanya nchini Morocco na Saudi Arabia. Mkutano huo umefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Novemba, 2023.
Waandishi kutoka Vyombo mbalimbali vya Habari nchini wakiwa kwenye Mkutano wa kuelezea Mafanikio ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aliyofanya nchini Morocco pamoja na Saudia Arabia . Mkutano huo na Waandishi wa Habari umefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Novemba, 2023.

Post a Comment

0 Comments