Mkurugenzi Mtendaji Benki ya NBC, Theobald Sabi akizungumza na wageni waalikwa wakiwemo wateja pamoja na wadau mbalimbali wa benki hiyo wakati wa hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake wakubwa na wadau hao kabla ya kuelekea Uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa kushuhudia mechi ya derby ya Kariakoo kati ya Simba na Yanga iliyoisha kwa kwa timu ya Yanga kuibuka na ushindi wa goli 5 -1 dhidi ya Simba.
Mkurugenzi Mtendaji Benki ya NBC, Theobald Sabi (Kushoto) akibadilishana mawazo na wateja pamoja na wadau mbalimbali wa benki hiyo wakati wa hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake wakubwa na wadau hao kabla ya kuelekea Uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa kushuhudia mechi ya derby ya Kariakoo kati ya Simba na Yanga iliyoisha kwa kwa timu ya Yanga kuibuka na ushindi wa goli 5 -1 dhidi ya Simba
Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya NBC, Elvis Ndunguru (Kulia) akibadilishana mawazo na wadau mbalimbali wa benki hiyo wakati wa hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake wakubwa na wadau hao kabla ya kuelekea Uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa kushuhudia mechi ya derby ya Kariakoo kati ya Simba na Yanga iliyoisha kwa kwa timu ya Yanga kuibuka na ushindi wa goli 5 -1 dhidi ya Simba
Meneja Mahusiano wa Benki ya NBC, Brendansia Kileo akizungumza na wageni waalikwa wakiwemo wateja pamoja na wadau mbalimbali wa benki hiyo wakati wa hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake wakubwa na wadau hao kabla ya kuelekea Uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa kushuhudia mechi ya derby ya Kariakoo kati ya Simba na Yanga iliyoisha kwa kwa timu ya Yanga kuibuka na ushindi wa goli 5 -1 dhidi ya Simba.
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo wateja pamoja na wadau mbalimbali wa benki ya NBC waliohudhuria kwenye hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake wakubwa na wadau hao kabla ya kuelekea Uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa kushuhudia mechi ya derby ya Kariakoo kati ya Simba na Yanga iliyoisha kwa kwa timu ya Yanga kuibuka na ushindi wa goli 5 -1 dhidi ya Simba.
0 Comments