Ticker

6/recent/ticker-posts

MAKAMU WA RAIS DKT.MPANGO APOKEA NDEGE YA BOEING 737-MAX9


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Naibu Spik awa Bunge la Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu, Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango pamoja na viongozi wengine wakati akikata utepe kuashiria kupokea ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 iliyowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu, Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango pamoja na viongozi wengine katika picha ya pamoja mara baada ya kupokea ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 katika hafla iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wakishuka katika ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 mara baada ya kuipokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango katika ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 mara baada ya kuipokea ilivyowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa hafla ya kupokea ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam. (tarehe 03 Oktoba 2023)
Ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 yenye uwezo wa kupakia abiria 181 ikiwasili nchini kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam.na kumwagiwa maji (water salute) leo tarehe 03 Oktoba 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na marubani pamoja na watumishi wa shirika la ndege nchini ATCL mara baada ya mapokezi ya ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.

Post a Comment

0 Comments