Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS DKT.HUSSEIN ALI MWINYI AMEWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUWA


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akimuapisha Nd.Mwanamkaa Abdulrahman Mohammed kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka wakati wa hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 30 /10/2021.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akimuapisha Nd.Salma Ali Hassan kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka wakati wa hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 30 /10/2021.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akimuapisha Mhe. Muumin Khamis Kombo kuwa Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 30 /10/2021.

Majaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar wakifuatilia hafla ya kuapishwa Mhe.Muumin Khamis Kombo kuwa Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 30 /10/2021.

Post a Comment

0 Comments